Andre Leander Arendse

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Andre Leander Arendse (alizaliwa 27 Juni 1967) ni mchezaji wa mpira wa miguu, ambaye anacheza kama golikipa wa nchini Afrika Kusini. Kwa sasa anafanya kazi kama msaidizi na mwalimu wa kipa kwa timu ya Supersport united na pia ni mwakilishi wa Supersports

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Arendse alicheza mechi yake ya kwanza mwaka 1991 akiwa na Cape Town Spurs katika NSL ambayo sasa imezimwa, akitolewa kwa mkopo kwa Santos ya Cape Town mwaka wa 1992Baadaye alichezea Oxford United, Fulham, Santos, Mamelodi Sundowns na SuperSport United.[1]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "André Arendse - Manager profile". www.transfermarkt.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-06-10. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Andre Leander Arendse kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.