Alphubel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mlima Alphubel, upande wa Kaskazini-Mashariki

Alphubel ni mlima wa Alpi katika nchi ya Uswisi (Ulaya).

Urefu wake ni mita 4,206 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Alphubel kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.