Aisha Abd al-Rahman

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

[[Faili:Aisha-Abdel-Rahman.JPG|alt=Aisha Abd al-

Aisha Abd al-Rahman
[[Image:Aisha-Abdel-Rahman|225px|alt=]]
picha ya Aisha Abd al-Rahman
Amezaliwa Novemba 18 1913
Damietta
Nchi Misri
Majina mengine Binti al-shati
Kazi yake profesa na mwandishi wa misri

Rahman|thumb|Aisha Abd al-Rahman]] Aisha Abd al-Rahman (kwa Kiarabu: عائشة عبد الرحمن , Novemba 18 1913 - 1 Desemba 1998) alikuwa profesa na mwandishi wa Misri ambaye alichapisha kwa jina la Bint al-Shaṭi ( بِنْت ٱلشّاطِئ "mtoto wa ukingo wa Mto").

Maisha na Kazi[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa 18 Novemba 1913 huko Damietta katika jimbo la Domyat huko Misri,[1] ambapo babake alifundisha katika taasisi ya kidini ya Domyat.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Obituary: Aisha Abdul-Rahman". The Independent (kwa Kiingereza). 1998-12-15. Iliwekwa mnamo 2022-03-04. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Aisha Abd al-Rahman kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.