Agnes Nandutu
Agnes Nandutu | |
Amezaliwa | Uganda |
---|---|
Nchi | Uganda |
Kazi yake | Mwandishi wa habati |
Agnes Nandutu ni mwandishi wa habari na mwanasiasa wa kike kutoka nchini Uganda.[1] Mnamo mwaka 2020 alishiriki kwenye kura ya mchujo wa Chama cha Upinzani cha Kitaifa[2] ambapo alishindwa na mbunge wa Kike wa sasa Justin Khainza,[3][4] na katika uchaguzi mkuu wa Uganda mwaka mnamo 2021 akiwania kama huru, alichaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wanawake wa Wilaya ya Bududa[5][6][7][8]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mwarua, Douglas (2021-01-16). Journalists Joel Ssenyonyi, Agnes Nandutu and 3 others elected to parliament (en).
- ↑ Masaba, Isaac (2020-07-24). NTV Uganda's Agnes Nandutu picks NRM nomination forms for Bududa Woman MP seat (en-US).
- ↑ NRM's Agnes Nandutu says the poor can no longer win elections in Uganda (en-US) (2020-09-21).
- ↑ Reporter, Our (2020-07-24). NTV journalist Agnes Nandutu picks NRM nomination forms (en-GB).
- ↑ Godfrey Lugaaju (18 January 2021). Four journalists set to grace the 11th parliament.
- ↑ How Agnes Nandutu used journalism to build a career in politics (en-GB) (2021-01-24).
- ↑ Updates, Grapevine (2021-01-21). How Journalist Agnes Nandutu Rose From 4th Spot In NRM Primaries To Claim 1st Position In Finals: The Incoming Bududa Woman MP's 'Spirits' Aided Her To Beat Her Opponent Point-Blank! (en-US).
- ↑ From Newsroom to House Floor: How Journalists Performed in Last Week's Elections (en-US) (2021-01-19).
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Agnes Nandutu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |