Nenda kwa yaliyomo

Ade Akinbiyi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Adeola Oluwatoyin Akinbiyi

.

Adeola Oluwatoyin Akinbiyi (alizaliwa 10 Oktoba 1974) ni mkufunzi wa kandanda na mchezaji wa zamani wa kulipwa wa Nigeria. [1]

Ushiriki Katika Klabu

[hariri | hariri chanzo]

Akinbiyi alianza uchezaji wake kama mkufunzi katika klabu ya Norwich City, ambapo aliingia kwenye kikosi cha kwanza mnamo 1992.[2]

Maisha Binafsi

[hariri | hariri chanzo]

kinbiyi alifanya kazi kama mshauri katika chuo cha michezo kwa kiasi kikubwa nchini Nigeria na Ghana.

Burnley Mchujo wa kuwania Ubingwa wa Ligi ya Soka: 2009.[3]

  1. "Notts County swoop for Akinbiyi". BBC Sport. 26 Septemba 2009. Iliwekwa mnamo 13 Oktoba 2009.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Winter, Henry (2 Novemba 2001). "On the Spot: Ade Akinbiyi". Daily Telegraph. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 11 Septemba 2012. Iliwekwa mnamo 23 Aprili 2010.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Akinbiyi and Dyer move to Blades". BBC Sport. 26 Januari 2006.{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Viungo Vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ade Akinbiyi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.