Q (gazeti) : Tofauti kati ya masahihisho
Mandhari
Content deleted Content added
Created page with '{{Infobox Magazine | title = Q | picha = Q logo2.png | ukubwa wa picha = 100px | maelezo ya picha = | mchapishaji = [[Bauer Media Grou...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 07:39, 1 Julai 2009
Paul Rees | Paul Rees |
---|---|
Makundi | Muziki |
Hutolewa | Kila mwezi |
Mchapishaji | Bauer Media Group |
Nchi | United Kingdom |
Lugha | Kiingereza |
Tovuti | Q the Music |
Q ni jina la kutaja gazeti la muziki ambalo hutolewa kila mwezi huko nchini Uingereza. Haidi kufikia mwezi Juni ya mwaka wa 2007, gazeti limetoa nakala takriban 130,179.[1]
Gazeti hili lilianzishwa na Mark Ellen na David Hepworth ambao walichoshwa na vyombo vya habari za muziki vya wakati huo, ambapo walikuwa wakihisi kwamba vinadharau vizazi vile ambavyo vinanunua muziki wa CD wa zamani.
Marejeo
- ↑ "Standard Certificate of Circulation - Q" (PDF). Audit Bureau of Circulation. 2007-08-16. Iliwekwa mnamo 2008-02-08.