Winifrida

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kioo cha rangi kikimuonyesha Mt. Winifrida huko Cardiff, Wales.

Winifrida (pia: Gwenffrewi, Winefride, Winifred, Wenefreda, Guineura; Flintshire, 600 - Conwy, 660) alikuwa bikira Mkristo wa Wales aliyeishi kama mmonaki[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu, pengine mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Novemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.