Tbilisi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

[[Picha:Georgia Tbilisi map.PNG|thumb|right|Mahali pa Tbilisi nchini Georgia.]

Kitovu cha Tbilisi.

Tbilisi (pia: Tiflis; kwa Kigeorgia: თბილისი) ni mji mkuu wa Georgia. Iko kando ya mto Kura (Mtkvari) kwa 41°43′N 44°47′E kwenye kimo cha m 380 hadi 727 juu ya UB.

Jiji hilo lina wakazi milioni 1.345.

Picha[hariri | hariri chanzo]


Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tbilisi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.