St. Louis, Missouri
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| St. Louis | |||
|
|||
| Mahali pa mji wa St. Louis katika Marekani | |||
| Anwani ya kijiografia: 38°37′40″N 90°14′34″W / 38.62778°N 90.24278°W | |||
| Nchi | Marekani | ||
|---|---|---|---|
| Jimbo | Missouri | ||
| Wilaya | Independent City | ||
| Idadi ya wakazi | |||
| - Mji | 355,663 | ||
| Tovuti: stlouis.missouri.org/ | |||
St. Louis ni mji wa Marekani katika jimbo la Missouri. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 2.8 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 142 kutoka juu ya usawa wa bahari.
| Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu St. Louis, Missouri kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |