Ross Barkley

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ross Barkley

Ross Barkley (amezaliwa 5 Desemba 1993) ni mchezaji wa mpira wa miguu anayechezea klabu ya Chelsea F.C. iliyopo nchini Uingereza, naye ni mzawa wa nchi hiyo.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ross Barkley kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.