Percy Bridgman
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Percy Williams Bridgman (21 Aprili, 1882 – 20 Agosti, 1961) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza sifa za halijoto na kanieneo. Mwaka wa 1946 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

