Percy Bridgman

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Percy Williams Bridgman (21 Aprili, 188220 Agosti, 1961) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza sifa za halijoto na kanieneo. Mwaka wa 1946 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Percy Bridgman" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Percy Bridgman kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi