Otandeka Laki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Otandeka Kanyesigye Laki
Nchi Bendera ya Uganda Uganda
Majina mengine Otandeka Laki
Kazi yake Mchezaji mpira

Otandeka Kanyesigye Laki (alizaliwa 24 Januari 1996) ni mchezaji wa soka wa nchini Uganda na ambaye anacheza kama winga na mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake ya Uganda

Maisha ya Awali[hariri | hariri chanzo]

Otandeka alizaliwa Bronx, New York, Marekani na kukulia Marlboro Township baba yake alikua ni balozi. Alisoma Shule ya sekondari ya Colts Neck..[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "US-based Otandeka eyes She Cranes". Iliwekwa mnamo 22 February 2022.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Meet Laki Otandeka, a US based Female Teenage Revelation with Ugandan Roots.". Kawowo. Iliwekwa mnamo 22 February 2022.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Otandeka Laki kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.