Orodha ya Marais wa Angola
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ukarasa huu una orodha ya marais wa Angola:
Yaliyomo |
[hariri] Orodha
[hariri] Jamhuri ya Watu wa Angola
| # | Jina (miaka ya maisha) |
Muda wa Utawala | Chama | |
|---|---|---|---|---|
| 1 | Agostinho Neto | 11 Novemba 1975 | 10 Septemba 1979 | MPLA |
| 2 | José Eduardo dos Santos | 10 Septemba 1979 | 30 Septemba 1992 | MPLA |
[hariri] Jamhuri ya Angola
| # | Jina (miaka ya maisha) |
Muda wa Utawala | Chama | |
|---|---|---|---|---|
| 2 | José Eduardo dos Santos | 30 Septemba 1992 | sasa | MPLA |
[hariri] Tazama pia
Wikimedia Commons ina media kuhusu: