Ngano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ngano
(Triticum L.)
Ngano
Ngano
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
Faila: Magnoliophyta (mimnea yenye maua)
Ngeli: Liliopsida au Monocotyledones, Monocotes (mimea yenye jani asilia moja tu katika mbegu)
Oda: Poales (aina za manyasi)
Familia: Poaceae (manyasi)
Jenasi: Triticum (L.)

Ngano ni mmea wa familia ya manyasi katika ngeli ya monokotiledoni. Mbegu za ngano ni nafaka ambayo ni chakula muhimu katika sehemu nyingi za dunia hasa kwenye kanda zisizo na joto au baridi kali.

Ngano ni kati ya nafaka muhimu zaidi zinazoliwa na watu pamoja na mhindi na mpunga. Ngano hutumiwa hasa kwa kuisaga kuwa unga. Unga wa ngano hutumiwa kwa mkate, chapati na pasta.

Ngano
Greentree.jpg Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ngano kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.