Mustafa Rugibani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mustafa Rugibani (alizaliwa 1941) ni mfanyabiashara na mwanasiasa nchini Libya. Aliteuliwa na Abdurrahim El-Keib kuwa Waziri wa Kazi tarehe 22 Novemba 2011.[1]

Kabla ya ghasia zilizoiangusha serikali ya Gaddafi ya Libya, Mr. Rugibani alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa MTS nchini Libya[2] na mwenyekiti wa United Business Machines, mshirika mwenza wa biashara za IBM aliyeidhinishwa kwa bidhaa tofauti tofauti na huduma za IBM nchini Jordan.[3]

Mustafa Rugibani aliteuliwa kuwa balozi wa Libya katika Baraza la Kitaifa mnamo mwaka 2013 hadi 2017.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Libya's NTC unveils new government line-up", 22 November 2011. Retrieved on 23 November 2011. 
  2. "E3 Conducts Seminar In Tripoli, Libya". 2 November 2010. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-03-28. Iliwekwa mnamo 29 November 2011.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. "UBM.com answers Jordan's business needs for software solutions with new company launch", 30 January 2002. Retrieved on 29 November 2011. 
  4. http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2015/05/13/libya%E2%80%99s_ambassador_to_the_holy_see_on_migrants/en-1143881www.archivioradiovaticana.va.2015-05-13. Retrieved 24 April 2020.Kigezo:National Transitional Council

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mustafa Rugibani kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.