Mtumiaji:Pabbie

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

CHUO KIKUU CHA IRINGA[hariri | hariri chanzo]

Chuo kikuu cha Iringa ni chuo kikuu binafsi kinachopatikana mkoani Iringa, Tanzania.[1]

Historia[hariri | hariri chanzo]

Mwaka 1995 chuo kikuu cha Iringa kilianza, kikiwa kama chuo kikuu kishiriki chini ya chuo kikuu cha Tumaini[2].

Mwaka 1997 kikaanza kutoa astashahada, stashahada pamoja na shahada.

Tarehe 25 Oktoba 2013, chuo kikuu cha Iringa kikapewa rasmi hadhi ya chuo kikuu kutoka chuo kikuu kishiriki.

Taaluma.[hariri | hariri chanzo]

Chuo kikuu cha Iringa kina vitivo sita, ambavyo ni:

Vitivo hivyo vinavyotoa elimu katika fani mbalimbali kwa ngazi za:

  • Astashahada
  • Stashahada
  • Shahada
  • Shahada ya Uzamili [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

[[Jamii:Vyuo vikuu vya tanzania]]

  1. https://www.tcu.go.tz/sites/default/files/LIST%20OF%20%20UNIVERSITY%20INSTITUTIONS%20IN%20TZ%20AS%20OF%2031.8.2019.pdf
  2. "Historia ya chuo kikuu Iringa". www.uoi.ac.tz (kwa en-gb). Iliwekwa mnamo 2019-11-08. 
  3. "Wayback Machine". web.archive.org. 2015-09-24. Iliwekwa mnamo 2021-06-19.