Marselo wa Chalon
Marselo wa Chalon (alifariki Chalon-sur-Saone, leo nchini Ufaransa, karne ya 3 hivi) ni mmojawapo kati ya Wakristo wafiadini wanaoheshimiwa kama watakatifu[1].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Septemba[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Marguerite Sermesse, « Saint-Marcel-lès-Chalon », revue Images de Saône-et-Loire, n. 6, Octobre 1970, pp. 12-13.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |