Magofu ya Mushembo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Magofu ya Mushembo ni magofu ya kihistoria iliyoko kusini mwa Mkoa wa Tanga, Tanzania.

Sehemu hiyo ni pahali yenye magofu ya Waswahili wa Zama za Kati ambayo bado hayajachimbuliwa. [1]

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. James de Vere Allen. “Swahili Culture and the Nature of East Coast Settlement.” The International Journal of African Historical Studies, vol. 14, no. 2, Boston University African Studies Center, 1981, pp. 306–34, https://doi.org/10.2307/218047.