Leah Galton

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Galton akiichezea Manchester United mwaka 2019

Leah Danielle Galton (alizaliwa 24 Machi 1994) ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Uingereza,ambae anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Manchester United F.C. inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake (WSL).[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Leah Galton kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.