Kyerwa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Kata ya Kyerwa
Nchi Tanzania
Mkoa Kagera
Wilaya Karagwe
Idadi ya wakazi
 - Mji 13,953

Kyerwa ni jina la wilaya mpya katika Mkoa wa Kagera, Tanzania.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2002, kata ya Kyerwa ilikuwa na wakazi wapatao 13,953. [1]

Wilaya ya Kyerwa ilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012 ikiwa na makao makuu Ruberwa.

Marejeo[hariri]

Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kagera bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kyerwa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.