Kitwechenkura

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kitwechenkura ni kata iliyomo ndani ya Wilaya ya Kyerwa, mkoa wa Kagera, Tanzania, yenye msimbo wa posta namba 35823 [1].

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 16,106 [2]. Wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, idadi ya wakazi wa kata ilikadiriwa kuwa watu 18,383.[3]

Jina la kata hiyo lilitokana na vichwa vya vifaru ambavyo miaka ya 1970 kulitokea operesheni ya vijiji vya ujamaa ambapo serikali iliwafukuza watu katika makazi yao wakahamia Kitwechenkura; walipofika lilikuwa pori kubwa, kazi yao ilikuwa kilimo na uwindaji walipokuwa wakiwaua vifaru vichwa vyao walivirundika pamoja.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tanzania Postcode List
  2. https://www.nbs.go.tz, uk 176
  3. Makadirio ya Idadi ya Watu katika Majimbo ya Uchaguzi kwa Mwaka 2016, Tanzania Bara, Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dar es Salaam April 2016, iliangaliwa Mei 2021

Kata za Wilaya ya Kyerwa - Mkoa wa Kagera - Tanzania

Bugara | Bugomora | Businde | Isingiro | Iteera | Kaisho | Kakanja | Kamuli | Kibare | Kibingo | Kikukuru | Kimuli | Kitwe | Kitwechenkura | Kyerwa | Mabira | Murongo | Nkwenda | Nyakatuntu | Nyaruzumbura | Rukuraijo | Rutunguru | Rwabwere | Songambele |


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kagera bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kitwechenkura kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.