Kwadelo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
Kata ya Kwadelo
Nchi Tanzania
Mkoa Dodoma
Wilaya Kondoa
Idadi ya wakazi
 - Mji 8,889

Kwadelo ni jina la kata ya Wilaya ya Kondoa katika Mkoa wa Dodoma, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 8,889 waishio humo.[1] Baadhi ya vijiji vya kata ya Kwadelo vyenye shule ya msingi ni Kwadelo yenyewe, Kirerechang'ombe, Makirinya na Ikengwa. Asilimia kubwa za wakazi wa kata ya Kwadelo ni Warangi.

Marejeo [hariri]

Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Kondoa - Mkoa wa Dodoma - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Bereko | Bumbuta | Busi | Chandama | Changaa | Chemba | Dalai | Farkwa | Goima | Gwandi | Haubi | Jangalo | Kalamba | Kikilo | Kikore | Kingale | Kisese | Kolo | Kondoa Mjini | Kwadelo | Kwamtoro | Lalta | Makorongo | Masange | Mnenia | Mondo | Mpendo | Mrijo | Ovada | Pahi | Paranga | Sanzawa | Soera | Suruke | Thawi


Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Dodoma bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kwadelo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.