Kakakuona
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| Kakakuona | ||||||||||
|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Kakakuona-nyika
|
||||||||||
| Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||
|
||||||||||
| Ngazi za chini | ||||||||||
|
jenasi 4:
|
Kakakuona ni wanyama wa familia Manidae ambao wamepambika na magamba na wana mkia mrefu. Wakitaka kujikinga dhidi ya wanyama mbuai wanajikunja. Hula mchwa na sisimizi na pengine wadudu wengine ambao huwakamata na ulimi wao mrefu wa kunata. Huishi katika kishimo cha kina cha hadi 3.5 m au katika mti mvungu.
[hariri] Spishi za Afrika
- Phataginus tricuspis , Kakakuona-miti (Tree Pangolin)
- Smutsia gigantea, Kakakuona Mkubwa (Giant Pangolin)
- Smutsia temminckii, Kakakuona-nyika (Ground Pangolin)
- Uromanis tetradactyla, Kakakuona Mkia-mrefu (Long-tailed Pangolin)
[hariri] Spishi za mabara mengine
- Manis crassicaudata, Kakakuona Mhindi (Indian Pangolin)
- Manis culionensis, Kakakuona wa Ufilipino (Philippine Pangolin)
- Manis javanica, Kakakuona wa Malay (Sunda Pangolin)
- Manis pentadactyla, Kakakuona wa Uchina (Chinese Pangolin)
[hariri] Picha