John Steinbeck

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta
John Steinback
John Steinbeck 1962.jpg
Steinbaeck mnamo 1962
Amezaliwa John Ernst Steinbeck, Jr.
27 Februari 1902
California, Marekani
Amekufa 20 Disemba 1968
New York. Marekani
Kazi yake Mwandishi
Tuzo Nobel.png
Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

John Ernst Steinbeck (27 Februari 190220 Desemba 1968) alikuwa mwandishi hodari kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa riwaya yake “Zabibu za Hasira” (kwa Kiingereza: Grapes of Wrath) iliyotolewa mwaka wa 1939. Mwaka wa 1962 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.


Quill and ink.svg Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Steinbeck kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.