John Steinbeck
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
John Ernst Steinbeck (27 Februari, 1902 – 20 Desemba, 1968) alikuwa mwandishi hodari kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa riwaya yake “Zabibu za Hasira” (kwa Kiingereza: Grapes of Wrath) iliyotolewa mwaka wa 1939. Mwaka wa 1962 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

