John Steinbeck
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
| John Steinback | |
Steinbaeck mnamo 1962 |
|
| Amezaliwa | John Ernst Steinbeck, Jr. 27 Februari 1902 California, Marekani |
|---|---|
| Amekufa | 20 Disemba 1968 New York. Marekani |
| Kazi yake | Mwandishi |
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
John Ernst Steinbeck (27 Februari 1902 – 20 Desemba 1968) alikuwa mwandishi hodari kutoka nchi ya Marekani. Anajulikana hasa kwa riwaya yake “Zabibu za Hasira” (kwa Kiingereza: Grapes of Wrath) iliyotolewa mwaka wa 1939. Mwaka wa 1962 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
| Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu John Steinbeck kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |