Harald V wa Norwei
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Harald V (alizaliwa 21 Februari, 1937) ni mfalme wa Norwei. Baba yake alikuwa Olav V, na mama yake alikuwa Märtha. Harald aliaga dunia 17 Januari, 1991. Yeye alikuwa mfalme wa kwanza kuzaliwa Norwei tangu miaka 600.
Harald alimoana na Sonjana wana watoto wawili: Märtha Louise (z. 1971) na Haakon Magnus (z. 1973).