Gregori wa Dekapoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo wa Mt. Gregori katika Menologion of Basil II, 985 hivi.

Gregori wa Dekapoli (Irenopoli, Isauria, leo nchini Uturuki, kabla ya 797 - Konstantinopoli, 842 au kabla yake) alikuwa mmonaki ambaye alipata umaarufu kwa miujiza na mizunguko yake mingi[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Novemba[2][3][4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92529
  2. Martyrologium Romanum
  3. Great Synaxaristes: Ὁ Ὅσιος Γρηγόριος ὁ Δεκαπολίτης. 20 Νοεμβρίου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
  4. Venerable Gregory Decapolite. OCA - Lives of the Saints. Retrieved: 17 September 2014.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Sahas, Daniel J. (2009). "Gregory Dekapolites". In Thomas, David; Roggema, Barbara. Christian-Muslim Relations: A Bibliographical History, Volume 1 (600-900). Leiden and Boston: BRILL. pp. 614–617. ISBN 978-90-04-16975-3
      .

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.