Godbless Jonathan Lema

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Godbless Jonathan Lema (amezaliwa 26 Oktoba 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Arusha Mjini kwa miaka 2015-2020. [1][2]

Godbless Lema alianza siasa zake mwaka 2005, kipindi hicho akiwa mwanachama wa chama cha TLP.

Baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 alipata hifadhi ya kisiasa kwanza nchini Kenya, halafu Kanada[3].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania Archived 25 Januari 2020 at the Wayback Machine., iliangaliwa Mei 2017
  2. https://www.ippmedia.com/sw/habari/mbunge-lema-mkewe-waanzisha-historia
  3. "Former Tanzanian MP flees to Canada as crackdown deepens", The Globe and Mail, December 21, 2020.