Ernest Hemingway

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tuzo Nobel.png
Ernest Hemingway, 1953


Ernest Miller Hemingway (21 Julai, 18992 Julai, 1961) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Marekani. Hasa aliandika riwaya, k.m. "Mzee na Bahari" (kwa Kiingereza The Old Man and the Sea) iliyotolewa mwaka wa 1952. Mwaka wa 1954 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi. Alikufa aliposafisha bunduki yake. Watu wanaendelea kujadili kama alijiua au kufa kwa ajali.

Quill and ink.svg Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ernest Hemingway kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.