Ehud

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ehud akiua Eglon.

Ehud (kwa Kiebrania אֵהוּד בֶּן־גֵּרָא, Ehud ben‑Gera, ʾĒhûḏ ben‑Gērā) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia[1].

Kadiri ya Waamuzi 3:12-28 alikuwa wa kabila la Benyamini akatumwa na Mungu kukomboa Israeli kutoka mikono ya Wamoabu.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ehud kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.