Edward Norton

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Edward Norton
Ednortongfdl.PNG
E. Norton
Amezaliwa Edward Harrison Norton
18 Agosti 1969 (1969-08-18) (umri 40)
Boston, Massachusetts, Marekani Kigezo:Flagicon
Kazi yake Mwigizaji
Mwongozaji
Mtayarishaji
Miaka ya kazi 1994-hadi leo

Edward Harrison Norton (amezaliwa tar. 18 Agosti, 1969)[1] ni mshindi wa Tuzo ya Akademi na Golden Globe kwa mwaka wa 1997, akiwa kama mwigizaji na mtayarishaji bora wa filamu wa Kimarekani. Anafahamika zaidi kwa kuceheza katika filamu ya Primal Fear, American History X, Fight Club, The Italian Job, na The Incredible Hulk.

[hariri] Marejeo

[hariri] Viungo vya nje

Us-actor.svg Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Edward Norton kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.