Cosmas Mtakatifu
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Cosmas Mtakatifu (alifariki kati ya 287 na 303) alikuwa daktari katika maeneo ya Uturuki. Pia alikuwa kaka ya Damian Mtakatifu.
Hali ya maisha na kifo chake haijulikani kwa uhakika.
Sikukuu yake ni tarehe 27 Septemba.
Takriban mwaka 530, Papa Felix IV aliwatolea Cosmas na Damian Watakatifu basilika maarufu katika mji wa Roma.
| Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Cosmas Mtakatifu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Marejeo [hariri]
- Acta sanctorum, 27 Sept, p 432 para 187
Viungo vya nje [hariri]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Catholic Encyclopedia:Sts. Cosmas and Damia
- Leslie G. Matthews, "SS. Cosmas and Damian—Patron Saints of Medicine and Pharmacy: Their Cult in England" in Medical History: notes on the few English churches dedicated to these saints
- Wonderworkers and Unmercenaries Cosmas and Damian of Asia Minor (1 Novemba) Eastern Orthodox icon and synaxarion
- Holy Wonderworking Unmercenary Physicians Cosmas and Damian at Rome (1 Julai)
- Martyrs and Unmercenaries Cosmas Damian in Cilicia (17 Oktoba)
- Synaxis of the Holy Unmercenaries Icon
- Representations of Saints Cosmas and Damian
- Saints Cosmas and Damian page at Christian Iconography
- "Here Follow the Lives of Saints Cosmo and Damian" from the Caxton translation