Cosmas Desmond

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Cosmas Desmond (19 Novemba 1935 - 31 Machi 2012) alikuwa mtawa Mfransisko, mwanaharakati na mwandishi wa Afrika Kusini aliyetokea Uingereza.

Kwa vile aliandika dhidi ya ubaguzi wa rangi kuchapisha na kusoma vitabu vyake nchini Afrika Kusini kulipigwa marufuku.

Baada ya mabadiliko ya kisiasa mwaka wa 1990 Desmond akawa mwandishi mashuhuri tena[1]. Akakaa Afrika Kusini hadi kufariki kwake.

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Maandiko ya Afrika ya Kusini Classic na ya kisasa.
  2. Kitabu cha Afrika Kusini na Kisasa,Chanzo cha Wikipedia

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.