Camaldoli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vyumba vya upwekeni Camaldoli na mmonaki akipita katikati.
Kanisa la "Eremo" ("Makao ya upwekeni") ya Camaldoli

Camaldoli ni monasteri muhimu katika eneo la msitu la kijiji cha Poppi, katika mkoa wa Toscana, Italia.

Ndiyo asili ya tawi la Wakamaldoli la wamonaki Wabenedikto.

Ilianzishwa mwaka 1023 hivi na Romwald abati kwa ruhusa ya askofu Tedaldo wa Arezzo.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]