Auzegera

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Dola la Roma - Africa Proconsularis (125 AD)

Auzegera ulikuwa mji wa Roma ya Kale katika jimbo la Afrika ya Kiroma, baadaye jimbo la Byzacena. Ilikuwa pia dayosisi ya Kanisa Katoliki[1][2] , askofu wake alikuwa chini ya askofu mkuu wa Karthago[3].

Magofu yake yanapatikana kwenye korongo kavu la jangwa la Tunisia kusini katika eneo linaloitwa sasa Henchir-El-Baguel.[4]

Tangu mwaka 1933 Kanisa Katoliki lilianza kutumia tena jina la Auzegera kwa ajili ya maaskofu wasio na dayosisi hai[5].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Stefano Antonio Morcelli, Africa Christiana, Volume I, (Brescia, 1816), p. 89.
  2. Auguste Audollent, v. Auzagerensis in Dictionnaire d'Histoire et de Géographie ecclésiastiques, vol. V, 1931, col. 980.
  3. Joseph Bingham, Origines Ecclesiasticae; Or the Antiquities of the Christian ..., Volume 3 (Straker, 1843) p231.
  4. https://www.persee.fr/doc/etaf_0768-2352_1974_mon_2_1
  5. https://www.catholic-hierarchy.org/diocese/d4a33.html Auzegera (Titular See) Auzegerensis
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Auzegera kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.