Almaki wa Roma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Almaki uwanjani.

Almaki wa Roma (kwa Kilatini: Almachius, Almachus, pia: Telemachus; alifariki 391/404) alikuwa mmonaki kutoka Mashariki aliyetaka kuzuia mchezo wa kuuana katika uwanja wa michezo wa Roma, Italia, ila umati ulimuua kwa kumpiga mawe[1].

Hata hivyo, kaisari Honorius aliguswa na ushujaa na hoja zake akakataza michezo hiyo.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Martyrologium Romanum
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.