Ahmed Abdullahi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ahmed Abdullahi (alizaliwa 19 Juni 2004) ni mchezaji wa kandanda wa Nigeria ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Jong Gent.

ushiriki Katika Klabu[hariri | hariri chanzo]

Mnamo 2021, Abdullahi alianza mazoezi na timu ya Ufaransa ya Olympique de Marseille na Borussia Dortmund ya Ujerumani, huku Gent ya Ubelgiji ikionyesha nia ya kumsaini.[1]

Ushiriki Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Abdullahi aliitwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Nigeria chini ya umri wa miaka 20 kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika la U-20 2023. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Achi, Francis (31 August 2021). "Exclusive : Dortmund, Marseille, Gent battles to sign Golden Eaglets striker, Abdullahi after scoring 15 goals". totorinews.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-02-24. Iliwekwa mnamo 24 February 2023.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "Flying Eagles Profiles: The 21 players selected for U20 AFCON". scorenigeria.com.ng. 10 February 2023. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-02-20. Iliwekwa mnamo 24 February 2023.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ahmed Abdullahi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.