Ziwa Ladoga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ziwa Ladoga
Mito ya kutoka Neva
Nchi za beseni Russia
Eneo la maji 17870 km2
Kina kikubwa 230 m
Mjao 838 km3

Ziwa Ladoga (Kirusi:Ладожское озеро, Ladozhskoe ozero, yaani, Ziwa Ladozhskoe;) ni ziwa huko nchinia Urusi. Liko baina ya mkoa wa Leningrad Oblast na Karelia. Lina ukubwa wa kilomita za mraba zipatazo 17,870.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]