Zeinab Mokalled

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Zeinab Mokalled (alizaliwa 1936 huko Jarjouh) ni mwanaharakati wa mazingira kutoka Lebanoni.

Alipata cheti cha ualimu. Alifundisha katika Shule ya Al-Musaytbeh na Shule ya Umma ya Arabsalim.[1]

Alianzisha shirika lisilo la kiserikali la Nedaa Al-Ard ('wito wa Dunia'), ili kukusanya na kuchakata Taka, wakati serikali ya manispaa ilishindwa..[2][3][4] Alipanga kutengeneza mboji kwa usaidizi kutoka kwa mradi wa "Environmentally Friendly Ideas" (Mawazo Rafiki Kimazingira) wa Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa.[5] Harakati yake ikawa mfano kwa Lebanoni.[6]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. جابر, كامل. "زينب مقلّد معلّمة عربصاليم الأولى". الخيام | khiyam.com (kwa Kiarabu). Iliwekwa mnamo 2022-04-28. 
  2. "This 81 Year Old Woman With a PHD and An All Female Rubbish Collection Service Is An Inspiration". www.radionisaa.ps. Iliwekwa mnamo 2022-04-28. 
  3. "The 81-year-old woman inspiring a nation to recycle", BBC News, 2017-06-08. (en-GB) 
  4. "The women tackling Lebanon's rubbish problem", BBC News. (en-GB) 
  5. بولكعيبات, أحلام; بولكعيبات, إدريس (2021). "التربية الإعلامية:, من مشروع دفاع إلى مشروع تمكين". مجلة العلوم الإنسانية: 203. doi:10.34174/0079-032-001-013.  Unknown parameter |s2cid= ignored (help)
  6. "Five leading environmentalists we are proud to have them in MENA". Greenpeace MENA (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-04-28. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Zeinab Mokalled kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.