Yusuf Abdioğlu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yusuf Abdioğlu (alizaliwa 14 Oktoba 1989) ni mchezaji wa soka wa Uturuki ambaye anacheza kama mlinzi wa klabu ya Ligi ya Samsunspor. Pia alitumia muda mwingi katika taaluma yake kucheza katika Timu za nusu daraja nchini Uturuki. akianza na Lüleburgazspor. Alikuwa na kazi katika Ofspor, Nazilli Belediyespor, Altınordu, na Ankaragücü kabla ya kuhamia Hatayspor mnamo 2018 ambapo alisaidia Timu kupata ushindi wa ligi kuu kwa mara ya kwanza katika historia yao mwaka 2020 [1] Abdioğlu alicheza mechi ya kwanza ya kulipwa akiwa na [[Hatayspor katika ushindi wa 2-0 wa Süper Lig dhidi ya mabingwa watetezi İstanbul Başakşehir FK mnamo 14 Septemba 2020, akiwa na umri wa miaka 31..[2]

Mnamo Juni 21, 2022, Abdioğlu alisaini mkataba wa miaka miwili na [Samsunspor][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Hatayspor'da Yusuf Abdioğlu: Mücade etmezsek ligde kalıcı olamayız". Fotomaç. 
  2. "Hatayspor vs. Istanbul Basaksehir - 14 September 2020 - Soccerway". uk.soccerway.com. 
  3. "MEMLEKETİNE HOŞ GELDİN YUSUF ABDİOĞLU" (kwa Kituruki). Samsunspor. 21 June 2022. Iliwekwa mnamo 18 October 2022.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yusuf Abdioğlu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.