Yuliwes Bellache

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Yuliwes Bellache (alizaliwa 15 Desemba 2002) ni mchezaji wa kulipwa ambaye anacheza kama kiungo wa ligi ya Austria Bundesliga klabu ya Austria Lustenau, kwa mkopo kutoka klabu ya Clermont. Bellache ni Mzaliwa wa Ufaransa, ni mchezaji wa kimataifa wa vijana wa Algeria.[1]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Bellache ni zao la vijana kutoka akademia za Saint-Priest na Clermont.

Ushiriki Kimataifa[hariri | hariri chanzo]

Bellache ambaye ni mzaliwa wa Ufaransa ana asili ya Algeria. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "France : Yuliwes Bellache signe son premier contrat pro avec Clermont". Le Score. July 6, 2022. Iliwekwa mnamo September 9, 2022.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "Bundesliga.at - Matchcenter". www.bundesliga.at. 

Viungo Vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yuliwes Bellache kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.