Yasmine Allas
Yasmine Allas (Kisomali: Yasmiin Callas, Kiarabu: ياسمين علس; alizaliwa 1967) ni mwanamke muigizaji na mwandishi mwenye asili ya Kisomalia na Kiholanzi.
Maisha binafsi[hariri | hariri chanzo]
Allas alizaliwa mnamo mwaka 1967 katika mji wa Mogadishu, ambao ni mji mkuu wa Somalia.[1][2] Familia yake ilikuwa ni ya kitajiri, ambapo baba yake alikuwa akifanya kazi kama Generali kwenye Jeshi la Somalia.[2] aliuawa mnamo mwaka 1977, alipokuwa bado mdogo.[3]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Yasmine Allas". Nederlands Letterenfonds. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-01-31. Iliwekwa mnamo 25 February 2014. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ 2.0 2.1 Bruyn, Martje Breedt (16 May 1998). "Yasmine Allas schrijft door een vergrootglas". Vrij Nederland. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-12-16. Iliwekwa mnamo 25 February 2014. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ "MatchBoox". www.matchboox.com (kwa Kiholanzi). Iliwekwa mnamo 2024-04-19.