Nenda kwa yaliyomo

William Nicholaus Lyimo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

William Nicholaus Lyimo (maarufu kwa jina la kisanii Bill Nass [1] [2] [3]; amezaliwa 11 Aprili 1993) ni rapa wa Kitanzania. MTV Base ilimtaja kati ya "Wasanii 50 walio tazamwa Kwa Mwaka 2017". [4] Miezi kadhaa baada ya kutolewa kwa wimbo wake wa kwanza "Raha", [5]

Bill Nass aliteuliwa kuwania Tuzo za Muziki za Kilimanjaro Tanzania (KTMA) za mwaka 2015 kama "Msanii Mpya Bora". [6] [7]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Who Is Bill Nass; A Rapper From Tanzania". THE NEW AFRICAN LEGACY (kwa Kiingereza (Uingereza)). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-06-24. Iliwekwa mnamo 2021-06-20.
  2. "MTV Base releases list of artists to watch in 2017". Music In Africa (kwa Kiingereza). 2017-02-14. Iliwekwa mnamo 2021-06-20.
  3. "Bill Nass". Music In Africa (kwa Kiingereza). 2017-09-19. Iliwekwa mnamo 2021-06-20.
  4. "mtv news | top african acts to lookout for in 2017 | MTV Africa". web.archive.org. 2017-11-15. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-11-15. Iliwekwa mnamo 2021-06-20.
  5. djmwanga (2014-12-21). "New AUDIO | Bill Nas Ft Nazizi - Raha | Download". DJ Mwanga (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2021-06-20.
  6. "Majina ya wateule wa KTMA 2015 yatangazwa". Bongo5.com (kwa American English). 2015-04-29. Iliwekwa mnamo 2021-06-20.
  7. "Nominees wa Kilimanjaro Music Awards 2015 | East Africa Television". www.eatv.tv (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-06-20.