Wilaya ya Mpimbwe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Wilaya ya Mpimbwe ni wilaya mojawapo kati ya 5 za Mkoa wa Katavi.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 215,438 [1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Mpimbwe - Mkoa wa Katavi - Tanzania

Chamalendi * Ikuba * Kasansa * Kibaoni * Majimoto * Mamba * Mbede * Mwamapuli * Usevya

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Katavi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.