Vita vya Waosmani Afrika

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Vita vya Waosmani Afrika vilipigwa barani Afrika na Dola la Waosmani lililoanzishwa mwanzoni mwa karne ya 14.

Kuanzia karne ya 16, lilianza kupata mali kufuatia mfululizo wa vita katika pwani ya Afrika Kaskazini.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "The Ottoman Empire | eHISTORY". ehistory.osu.edu. Iliwekwa mnamo 2021-07-28.