Verónica Macamo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rais wa Bunge la Kitaifa Veronica Macamo akiwa Maputo, Msumbiji
Rais wa Bunge la Kitaifa Veronica Macamo akiwa Maputo, Msumbiji

Verónica Nataniel Macamo Dlovo (amezaliwa Novemba 13, 1957), ni mwanasiasa wa Msumbiji ambaye aliwahi kuwa Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji kutoka 2010 hadi 2020.

Yeye ni mwanachama wa Frelimo na alianza kazi yake kama mwanasiasa katika mkoa wa Gaza kama mwanachama wa Shirika la Wanawake wa Msumbiji na alipata kilele cha taaluma yake wakati alikuwa rais wa kwanza mwanamke wa Bunge tangu Msumbiji ipate uhuru.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Parlamento, Página Oficial do. Archived 6 Desemba 2018 at the Wayback Machine.(kireno). iliwekwa mnamo 24-07-2021