Uwanja wa michezo wa Stade de Port-Gentil
Stade de Port-Gentil ni uwanja wa michezo uliopo katika mji wa Port-Gentil nchini Gabon, wenye uwezo wa kuchukua watu 20,000[1] uwanja huu ulifunguliwa mwaka 2017 wakati wa mashindano ya Kombe la Mataifa Huru ya Afrika
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Archived copy". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-01-23. Iliwekwa mnamo 2017-01-23. Unknown parameter
|url-status=
ignored (help)
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Stade de Port-Gentil kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |