Uwanja wa michezo wa Stade de Port-Gentil

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Stade de Port-Gentil ni uwanja wa michezo uliopo katika mji wa Port-Gentil nchini Gabon, wenye uwezo wa kuchukua watu 20,000[1] uwanja huu ulifunguliwa mwaka 2017 wakati wa mashindano ya Kombe la Mataifa Huru ya Afrika

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Archived copy". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-01-23. Iliwekwa mnamo 2017-01-23.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Stade de Port-Gentil kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.