Uwanja wa michezo wa Lugogo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uwanja wa michezo wa Lugogo pia unajulikana kama Lugogo Cricket Oval, ni uwanja wa kriketi, uwanja huu upo Kampala nchini Uganda. Mechi ya kwanza iliyorekodiwa. Chini ya uwanja huu ilikuja mnamo mwaka 1957. Wakati Waasi wa Kenya walicheza Klabu ya Kriketi ya Sunder.

Katika mwaka huo huo Timu ya kitaifa ya kriketi ya Uganda. Walitumia uwanja kwanza wakati timu ya kitaifa ilicheza na Klabu ya Kriketi ya Sunder.[1] Uwanja huu ulifanya mechi yake ya uzinduzi wa kriketi ya darasa la kwanza wakati wa Mwaliko wa Afrika Mashariki. Timu ya kriketi ilicheza ziara ya Marylebone Cricket Club mnamo mwaka 1963.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Other matches played on Lugogo Stadium". CricketArchive. Iliwekwa mnamo 18 October 2011.  Check date values in: |accessdate= (help)
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Lugogo kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.