Uwanja wa kati wa Giza

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ni uwanja mkuu unapatikana mashariki mwa barabara ya Khafre's na unaendelea hadi kwenye mji wa piramidi wa Malkia Khentkaus I. Mmoja kati ya wachimbaji wakuu wa uwanja mkuu ni Selim Hassan.Uwanja mkuu unapatikana baadhi ya sehemu za machimbo makubwa ya mawe ambazo zilitoa mawe kwa ajili ya ujenzi wa piramidi mbili za mwanzo huko Giza.kwa hiyo tarehe za makaburi zilianza baadae kwenye urithi wa awamu ya nne nakuendelea.Makaburi kutokea warithi wa awamu ya nne ni pamoja na yale ya malkia Persenet, Khamerernebty II, Rekhetre, Khentkaus I na Bunefer, pamoja na wana kadhaa wa kifalme.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2008-10-11. Iliwekwa mnamo 2022-06-11. 
  2. https://web.archive.org/web/20081011131428/http://gizapyramids.org/