Ustawi wa Jamii

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kituo cha msaada wa familia huko Saint Peter Port, Guernsey, ambacho hutoa msaada kwa familia zilizo na watoto.

Ustawi wa Jamii ni aina ya msaada wa serikali unaolenga kuhakikisha kwamba wanajamii wanaweza kukidhi mahitaji ya msingi ya binadamu kama vile chakula,malazi na makazi.[1]

Usalama wa jamii unaweza kuwa sawa na ustawi wa jamii,Kigezo:Efn au ni mipango ya bima ya jamii ambayo hutoa msaada tu kwa wale ambao wamechangia hapo awali, kinyume na mipango ya "msaada wa jamii" ambayo hutoa msaada wa msingi wa mahitaji pekee (kwa mfano, watu wenye ulemavu).[2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Social welfare program". Encyclopedia Britannica (kwa Kiingereza). 
  2. David S. Weissbrodt; Connie de la Vega (2007). International Human Rights Law: An Introduction. University of Pennsylvania Press. uk. 130. ISBN 978-0-8122-4032-0. 
  3. Walker, Robert (1 November 2004). Social Security And Welfare: Concepts And Comparisons: Concepts and Comparisons. McGraw-Hill Education (UK). uk. 4. ISBN 978-0-335-20934-7.  Check date values in: |date= (help)