Uoto wa Asili (Tanzania)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uoto wa Asili kwenye Mbuga ya Wanyama nchini Tanzania
Trecta likikatiza kwenye eneo lenye Uoto wa Asili nchini Tanzania

Uoto wa Asili ni mimea yote inayoota kiasili, tofauti na ile inayooteshwa na binadamu. Kwa hali hiyo uoto wa asili huhusiana moja kwa moja na tabia ya nchi. Kwa nchi ya Tanzania, tazama Tabia ya Nchi Tanzania.

Uoto wa asili ni matokeo ya athari za hali ya hewa, ambayo nayo huhusiana na kuathiriwa na sura ya nchi. Kwa mfano misitu minene hustawi katika sehemu za milima zenye mvua nyingi.

Aina na kiasi cha uoto wa asili hubadilika kadiri mvua inavyobadilika.

Aina za uoto wa asili Tanzania[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Vitabu vya Jiografia ya Tanzania

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Uoto wa Asili (Tanzania) kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.